Wafugaji wakiwa wananyeshwa mvua na mifugo yao Mkoani Arusha katika Mnada wenye miundo mbinu mibovu
Wafugaji mkoani Arusha wamelalamikia ukosefu wa miundombinu rafiki katika mnada wa ng`ombe hali inayosababisha adha kubwa hasa wakati wa mvua kutokana na soko hilo kutokuwa na paa wala uzio .