Wafugaji walalamikia miundombinu mibovu minadani

Wafugaji wakiwa wananyeshwa mvua na mifugo yao Mkoani Arusha katika Mnada wenye miundo mbinu mibovu

Wafugaji mkoani Arusha wamelalamikia ukosefu wa miundombinu rafiki katika mnada wa ng`ombe hali inayosababisha adha kubwa hasa wakati wa mvua kutokana na soko hilo kutokuwa na paa wala uzio .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS