Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mhe.William Lukuvi (Katikati)
Serikali ya Tanzania inakusudia kupanga, kupima,kumilikisha na kusajili kila kipande cha ardhi nchini kwa lengo la kupunguza migogoro ya ardhi ambayo inapelekea usumbufu mkubwa kwa watanzania.