UNENE ULIOZIDI CHANZO CHA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA

Afisa lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Bw. Walbert Mgeni akifafanua kuhusu makundi mbalimbali ya vyakula na namna yanavyotakiwa kutumiaka.

Magonjwa yasiyo ambukiza kama kisukari, saratani na figo yameelezwa kuchangiwa kwa unene na uzito kupita kiasi kwa mrundikano wa mafuta ya ziada au yasiyo ya kawaida mwilini yamekuwa yakichangia kudhoofisha mwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS