Takribani watoto 27, wamezaliwa katika Hospitali tatu za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam
Takribani watoto 27, wamezaliwa katika Hospitali tatu za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam ambapo kwa mwaka huu watoto wakiume ni wengi kuliko watoto wakike ambao ni 10 kati ya 27 waliozaliwa.