WATOTO 27 WAZALIWA SIKU YA KRISMASI

Takribani watoto 27, wamezaliwa katika Hospitali tatu za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam

Takribani watoto 27, wamezaliwa katika Hospitali tatu za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam ambapo kwa mwaka huu watoto wakiume ni wengi kuliko watoto wakike ambao ni 10 kati ya 27 waliozaliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS