Kada wa CHADEMA auawa Songwe

Bendera

Kada wa CHADEMA Stephano Evaristo Chalamila mwenye umri wa miaka 23 ambaye pia ni ofisa wa chama Kata na mkazi wa kijiji cha Chapwa A wilaya ya Momba mkoani Songwe, ameuawa usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2024, baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani akiwa amelala na kukatwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS