"Hatupaswi kuleta taharuki kwa wananchi"- Masanja

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amewataka Askari wa Uhifadhi katika maeneo mbalimbali nchini wazingatie sheria kanuni, taratibu na miongozo pindi wanapotekeleza majukumu yao ikiwemo kulinda maliasili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS