RC Sendiga akemea wanaouza vifaa vya msaada

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga amewataka wananchi kutouza vifaa vya msaada walivyopatiwa kufuatia maafa ya upepo mkali uliosababisha  nyumba 45 kuezuliwa na baadhi kubomoka katika kijiji cha Tamasenga kata ya Pito wilaya ya Sumbawanga mwaka jana

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS