Migogoro ya wafugaji na wakulima wapata muarobaini
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kisarawe Selemen Jafo amewahakikishia wananchi kuwa serikali kupitia wizara ya mifugo imepanga kuchimba mabwawa na malambo maalum yatakayotumiwa na wafugaji kunyweshea mifugo yao