Shilole amwaga machozi kuvunjiwa Shishi Food Picha ya Shilole na alipokuwa anafanyia biashara Msanii na mfanyabiashara Shilole amemwaga machozi akizungumza na waandishi wa habari juu ya kuvunjiwa eneo lake la biashara la 'Shishi Food' Kinondoni na kupewa siku 3 kuhamia eneo jipya alilopewa. Read more about Shilole amwaga machozi kuvunjiwa Shishi Food