Samwel amwagiwa maji ya moto na Rehema Maji ya moto Jeshi la polisi mkoani Mwanza linamshikilia Rehema Prosper (41), anayedaiwa kumjeruhi mpenzi wake aitwaye Timoth Samweli kwa kumwagia maji ya moto mgongoni, akimtuhumu kutoka kimapenzi na wanawake wengine. Read more about Samwel amwagiwa maji ya moto na Rehema