Serikali kugharamia mazishi ya watu 17 Gari lililopata ajali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametoa maelekezo kuwa Serikali isimamie msiba wa watu 17 waliofariki kwa ajali mkoani Tanga hadi utakapomalizika. Read more about Serikali kugharamia mazishi ya watu 17