Bibi awachoma moto watoto wa mwanamke aliyemuoa
Watoto watatu wa familia moja wilayani Rorya mkoani Mara, wamelazwa katika hospital ya wilaya ya Shirati wakipatiwa matibabu kwenye majeraha mbalimbali ya moto waliyochomwa na mwanamke anayedaiwa kuwa ni bibi yao aitwaye Eliza Odira (68).