Mwekezaji adaiwa kulazimisha wananchi wauze nyumba
Wananchi wa mtaa wa Migombani, Kata ya Mitimirefu Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamedai kulazimishwa kuuza nyumba zao kwa bei isiyoendana na thamani ya nyumba husika ili kumpisha mwekezaji aliyeweka bandari kavu katika eneo hilo.