Changamoto ya ukatili kwa wanafunzi Goba

Kukosekana kwa uzio pamoja na wanafunzi, kutembea umbali mrefu katika maeneo yanayozingirwa na vichaka zimetajwa kuwa changamoto zinazochangia kuongezeka kwa matukio ya ukatili yakiwemo ulawiti na ubakaji kwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi katika kata ya Goba wilayani Ubungo Dar

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS