Wananchi watishia kuchoma moto kijiji chao
Wananachi wa Kijiji cha Nyamikoma kilichopo Wilayani Butiama mkoani Mara wametishia kuchoma moto kijiji hicho endapo Mtendaji wa kijiji hicho Goodluck Makunja atahamishwa ambapo wanadai amekuwa akitenda kazi kiudalifu tofauti na watendaji waliopita