Kassim auawa na wasiojulikana shambani kwake
Mfanyabiashara mkoani Mwanza Yusuph Kassim, ameuawa na watu wasiojulikana shambani kwake, katika Kijiji cha Chabula wilayani Magu, baada ya kuvamiwa na watu hao akiwa na kijana wake wa kazi ambaye yeye alifanikiwa kuwatoroka watu hao.