Kassim auawa na wasiojulikana shambani kwake

Yusuph Kassim, aliyeuawa

Mfanyabiashara mkoani Mwanza Yusuph Kassim, ameuawa na watu wasiojulikana shambani kwake, katika Kijiji cha Chabula wilayani Magu, baada ya kuvamiwa na watu hao akiwa na kijana wake wa kazi ambaye yeye alifanikiwa kuwatoroka watu hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS