Wananchi waomba urahisi wa huduma za Afya
Wananchi wa Mtaa wa Kanoni Mburahati jijini Dar es Salaam, wameiomba Serikali kupunguza gharama za vipimo ikiwezekana iwe bure ili waweze kujua Afya zao mapema, wapate matibabu ili kuepukana na vifo vinavyotokana na kuchelewa kupata huduma.