Wanaume Kigoma wapigwa na wake zao
Baadhi ya wanaume na wanawake Katika Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, wamelalamikia ukatili wa kupigwa na wenza wao wa ndoa na kusababisha ndoa nyingi kuvunjia kwa kupeana talaka huku watoto wakiathirika na vitendo vya ukatili kwa kukosa malezi bora ya wazazi.