Rais Samia asisitiza waliochepusha maji kuondolewa

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe maalum kuashiria kuanza kwa zoezi la kujaza maji katika mradi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji, Mkoani Pwani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewaagiza wakuu wa mikoa nchini kutekeleza maagizo aliyoyatoa Makamu wa Rais Dr Philip Mpango hivi karibuni ya kuhakikisha kwamba mifugo yote ambayo imeingia katikka bonde la mto Rufiji kinyume na utaratibu inaondolewa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS