Mbowe akamatwa na polisi Songwe
Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe linamshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe pamoja na wafuasi wa chama hicho wakati wakitokea Halungu kuelekea Tunduma kwa ajili ya mikutano ya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.