Bajaji aliyemnyonga mfanyakazi TANESCO naye auawa

Bajaji zilizotumika kwenye mauaji ya Angel

Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe limemuua kwa kumpiga risasi Isaya Mzuge, dereva bajaji wakati akijaribu kuwatoroka polisi baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kumuua kwa kumnyonga mfanyakazi wa TANESCO mkoani humo Angel Shakiyao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS