Polisi wawatembelea wahanga wa ajali za bodaboda

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha SP Solomon Mwangamilo na askari wengine wakiwajulia hali wahanga wa ajali za bodaboda

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na viongozi wa waendesha pikipiki mkoani humo, wamewatembelea wahanga wa ajali za pikipiki na vyombo vingine vya moto katika hospitali ya Nkoranga Lutheran iliyopo Arumeru kwa lengo la kutoa pole na kukusanya taarifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS