Polisi wawatembelea wahanga wa ajali za bodaboda
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na viongozi wa waendesha pikipiki mkoani humo, wamewatembelea wahanga wa ajali za pikipiki na vyombo vingine vya moto katika hospitali ya Nkoranga Lutheran iliyopo Arumeru kwa lengo la kutoa pole na kukusanya taarifa.