"Nitaziba pengo la Vanessa Mdee" - Barbiemia picha ya msanii Barbiemia Msanii wa BongoFleva Barbiemia amesema ipo siku ataziba nafasi ya Vanessa Mdee ambaye kwa sasa yupo busy kulea familia na anaishi nchini Marekani na mchumba wake Rotimi. Read more about "Nitaziba pengo la Vanessa Mdee" - Barbiemia