Mwanasoka ahukumiwa kunyongwa Iran

Mwanasoka Amir Nasr-Azadan aliyehukumiwa kunyongwa

Mwanasoka wa kimataifa wa Iran, Amir Nasr-Azadan amehukumiwa adhabu ya kunyongwa mpaka kufa kutokana na kupigania haki za wanawake na uhuru wa kujieleza nchini mwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS