Polisi Iringa yasema imejipanga vyema kwa kampeni

Kamanda wa polisi Mkoa wa Iringa Bw. Ramadhan Mungi.

Jeshi la polisi mkoani Iringa limesema kuwa limejipanga‭ ‬vema‭ ‬kuhakikisha‭ ‬kuwa‭ ‬ulinzi na usalama unatawala kwenye mikutano ya kampeni‭ ‬za vyama vya siasa‭ ‬ambayo inatarajia kuanza Agosti‭ ‬22‭ ‬mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS