Waandishi wakumbushwa kufuata maadili ya kazi

Chiku Abwao akiongeana wananchi wa Manispaa ya Iringa katika mkutano wahadhara uliofanyika uwanja wa Mwembetogwa.

Vyombo vya habari vimekumbushwa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa kwa kufuata misingi ya maadili ya sekta hiyo ili kupata viongozi bora katika uchaguzi wa mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS