Matukio ya watoto kujiua yawashitua wazazi Rwanda. Mamlaka nchini Rwanda imeshtushwa na idadi kubwa ya vijana wanaojiua, huku watoto wenye umri wa miaka 11 wakiongoza kwa kujiua nchini humo. kutokana na tatizo la afya ya akili. Read more about Matukio ya watoto kujiua yawashitua wazazi Rwanda.