Barbara Gonzalez anaondoka, nini hatma ya Simba?
Septemba 5, 2020 Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ilimteua Barbara Gonzalez kuwa CEO mpya wa klabu hiyo akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Senzo Mazingiza Mbatta. Kuteuliwa kwake kulileta maneno miongoni mwa wadau wa soka.