Barbara Gonzalez anaondoka, nini hatma ya Simba?

Mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji na CEO aliyejiuzulu Simba, Barbara Gonzalez.

Septemba 5, 2020 Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ilimteua Barbara Gonzalez kuwa CEO mpya wa klabu hiyo akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Senzo Mazingiza Mbatta. Kuteuliwa kwake kulileta maneno miongoni mwa wadau wa soka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS