TANAPA yazindua kampeni kukuza utalii wa Ndani

Tembo ni moja kati ya Wanyama wanaotumika sana kutazamwa katika utalii nchini Tanzania

Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA limezindua kampeni maalum ya miezi sita yenye lengo la kuwahamasiha watanzania kujenga utamaduni wa kutembelea hifadhi za taifa kila mara ili kuongeza utalii wa ndani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS