Serikali kuanza kuzalisha umeme wa gesi asilia.
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema serikali itaanza kuzalisha umeme wa gesi asilia inayotoka Madimba, mkoani Mtwara mpaka Kinyerezi, Dar es Salaam mwanzoni mwa mwezi Septemba mwaka huu.