Serikali kuanza kuzalisha umeme wa gesi asilia.

Bomba ambalo litatumika kusafirisha Gesi kutoka Mtwara hadi Kinyerezi jijini Dar es Salaam.

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema serikali itaanza kuzalisha umeme wa gesi asilia inayotoka Madimba, mkoani Mtwara mpaka Kinyerezi, Dar es Salaam mwanzoni mwa mwezi Septemba mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS