Elias Ngorisa, katibu wa fedha na uchumi wa CCM Wilaya ya Ngorongoro pamoja na madiwani kadhaa wamejiunga CHADEMA na kupokelewa na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari
Kasi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukihama chama hicho imepamba moto baada ya madiwani 18 wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, kutangaza nia yao jana Jijini Arusha.