Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba.
Mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi Mh. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Watanzania wana mategemeo makubwa ambayo endapo watampa ridhaa ya kuendesha nchi atawatumikia kufikia Malengo yao.