DC wa Magu akemea mila potofu

Mkuu wa wilaya ya Magu Salum Kalli amewaonya wakazi wa wilaya hiyo kuacha kuendekeza mila potofu zinazochangia ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia na kusema hatua za kisheria zitachukuwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS