DC wa Magu akemea mila potofu
Mkuu wa wilaya ya Magu Salum Kalli amewaonya wakazi wa wilaya hiyo kuacha kuendekeza mila potofu zinazochangia ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia na kusema hatua za kisheria zitachukuwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo