Wananchi wafunga barabara ya Dodoma- Dar
Wananchi wa Kijiji cha Pandambili wilayani Kongwa mkoani Dodoma, wameziba barabara kuu inayotoka Dar es Salaam kwenda mikoa mingine wakishinikiza serikali iweke alama za tahadhari katika eneo hilo baada ya mtoto mdogo kugongwa na gari hapo jana na kupoteza maisha.