Mtoto aliyewahi kubakwa, abakwa tena na Baba yake Baba anayetuhumiwa kumbaka mwanae Jeshi la Polisi wilayani Babati mkoani Manyara, linamshikilia Elias Hando (30) mkazi wa Kijiji cha Tsaayo, Kata ya Arri wilayani humo kwa tuhuma za kumbaka mwanae wa kumzaa mwenye umri wa miaka 6. Read more about Mtoto aliyewahi kubakwa, abakwa tena na Baba yake