Wananchi Chalinze wapatiwa matibabu

Mmoja wa wananchi waliopatiwa huduma

Zaidi ya wananchi 2000 kutoka vijiji mbalimbali katika Halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani, wamepatiwa matibabu ya magonjwa mbalimbali ikiwemo sukari, upasuaji wa mtoto wa jicho pamoja na kupatiwa miwani kufuatia kambi ya matibabu inayoendeshwa katika hospitali ya Msoga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS