Changamoto umeme kukosa nguvu kutatuliwa kinyerezi
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema ukuaji wa kasi wa maendeleo na uchumi katika Mkoa wa Dar es Salaam unachangia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa ongezeko la mahitaji ya umeme.