Wanaotorosha wagonjwa Mnazi Mmoja waonywa
Mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya rufaa mnazi mmoja Dr, Muhidini Abdi Mahmoud amelaani vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali hiyo vya kuwaondoa wagonjwa kimagendo hospitalini hapo kwa madai kuwa hakuna vifaa vya matibabu husika