Wakulima waandamana Kiteto

Mamia ya wakulima wa Kijiji cha Ngabolo wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Wilaya, ambapo ni zaidi ya  Km 50 kutaka atatue mgogoro wa ardhi kati yao na hifadhi ya WMA ambao wanataka waondoke na wasifanye shughuli za kibinamu 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS