RC Homera aagiza mashine za CT - Scan kufungwa

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera ameiagiza Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya, kufunga vifaa vya mashine ya mionzi ya CT - Scan  ambavyo tayari serikali imevinunua ili  wagonjwa waanze kupata huduma mbalimbali za uchunguzi wa kitababu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS