Shahidi kesi ya Zumaridi augua ghafla
Mahakama ya hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza imelazimika kuahirisha kesi namba 10 ya shambulio la kudhuru mwili na kuzuia maofisa wa serikali kutekeleza wajibu wao inayomkabili Diana Bundala maarufu kama mfalme Zumaridi na wenzake 8 baada ya Shahidi wa utetezi kuugua ghafla Mahakamani hapo