Watu milioni 34 wafariki duniani

Prof.Mohamed Janabi, Mkurugenzi Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais waswala ya Afya na Tiba

Takribani watu milioni 34.6 hufariki kila mwaka duniani kutokana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo saratani, magoniwa ya moyo, shinikizo la damu, kiharusi na magoniwa ya kisukari, huku Watanzanikumbushwa kuzingatia mtindo wa maisha kukabiliana na magonjwa hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS