Aliyeripotiwa amepotea akutwa mochwari M/Nyamala

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, na kulia ni Daisle Simion Ulomi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS