Walimu pokeeni wanafunzi hata kama wanadaiwa
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko ameagiza walimu kuwapokea wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza hata kama hawajakamilisha mahitaji baada ya kubainika kuwa kati wanafunzi 14,904 waliofaulu ni wanafunzi 3,779 sawa 25 % pekee ndio walioripoti kuanza kidato cha kwanza