Taifa Stars yapaswa kujihadhari dhidi ya Ethiopia
Timu ya taifa ya Tanzania taifa Stars itacheza mchezo wa kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia siku ya kesho kutwa Novemba 16 ugenini mchezo utakaochezwa nchini Congo DRC.Mchezo wa kwanza wa kufuzu mashindano hayo Morocco uliochezwa Dar es salaam Benjamin ulitamatika kwa suluhu ya 0-0.