Wananchi wahimizwa kupanda miti ya matunda

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalifan Haule akimwagilia maji mti wa matunda alioupada katika shule ya msingi ya Mwisengi wakati wa zoezi la upandaji wa Miti, Desemba 5, 2022 Musoma mkoa wa Mara ikiwa ni kuelekea mkutano Mkuu wa Nane wa Mwaka wa Wadau wa Lishe katika Wilaya ya Musoma Mkoani Mara

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalifan Haule amehimiza wananchi kuendelea kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti ya matunda ili kupata matunda na vivuli katika maeneo yao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS