Rukwa kusimamia miradi kwa ubora

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga akizungumza na wanafunzi Sumbawanga

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga amezitaka Halmashauri za Mkoa huo kuhakikisha zinatekeleza miradi ya maendeleo kwa ubora na kuzingatia matumizi sahihi ya fedha za umma na kuahidi kuwa ataendelea kufuatilia bila kuchoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS