Miili ya mama na wanaye yaagwa, ndugu wazimia

Majeneza yaliyobeba miili ya Mama na watoto wake wawili waliofariki kwa ajali

Miili ya mama na watoto wake wawili waliofariki kwa ajali ya gari wakitoka kwenye mahafali ya kidato cha nne ya mmoja wa marehemu, imeagwa leo jijini Dar es Salaam katika kanisa la KKKT Usharika wa Tabata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS