Idadi ya waliokufa na tetemeko bado inaongezeka Inasemekana zaidi ya watu 1,200 mpaka sasa wamepoteza maisha Hadi kufikia mchana wa leo, Rais wa Uturuki Recep Erdogan amesema watu 912 wamepoteza maisha nchini Uturuki pekee na wengine 5,383 wamejeruhiwa kutokana na tetemeko la ardhi. Read more about Idadi ya waliokufa na tetemeko bado inaongezeka