Yanga SC yapaswa kutulia kama inauhitaji ubingwa

Sababu mbalimbali zimetajwa juu ya uamuzi uliochukuliwa na Uongozi wa timu hiyo kuhamia uwanja wa KMC Complex ikiwemo picha za vidio ambazo hazina uthibitisho kama kweli zinaihusu klabu hiyo zikionyesha mabomba ya sindano uwanjani Azam Complex ikisemekana Wachezaji wake wanaongeza nguvu kwa kuchoma sindano.

Klabu ya Yanga ya imetangaza kuhamia uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge Dar es salaam na kuachana na uwanja wa Azam Complex Chamazi iliokuwa ukiutumia siku za nyuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS