DC Machali asisitiza ukaguzi wa maduka Bukoba
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mosses Machali amemwagiza mkurugenzi wa manispaa ya Bukoba na wataalamu wake kuendelea kufanya ukaguzi kwa wafanyabiashara ambao hawana leseni, ili ambao hawana wafuate taratibu na kupata leseni kwa mujibu wa sheria, na kuiwezesha serikali kupata mapato